BORA NIENDE(18) - KingSoka Media

Breaking

Saturday, 16 December 2017

BORA NIENDE(18)



BORA NIENDE(18)

KING SOKA
PHONE:+255717758864
DAR ES SALAAM_TZ
PAGE
#STORY_ZA_KING_SOKA
Email address
jacksonsoka@gmail.com

Ilipo ISHIA.....


Baada ya kuwa naelekea sokono Tandika gari ilikuja kwa nyuma yangu na kunipigia honi mfululizo bila hata kuwa na tatizo.
Na baada ya honi ile gari nyeusi aina ya v8 ikanipita kwa kasi ya ajabu na hapo hapo simu iliita kupoa tu,
Boss anaanza kuongea bila hata kuvuta pumzi ili namimi nimjibu na baada yakumaliza anakata simu.
Njia naamua kupaki pikipiki njiani na kumtumia boss Mr David mesaji ya kumtaaribu kama siendi alipo niita.

NAAM !SONGA NAYO............
Niliamua kupaki pikipiki pembeni na kumtua text Mr David kama siwezi kuja sehemu aliyo niita na kama shida yake ni kuniuwa basi atafute njia nyingine lakini siyo ya mimi kujipeleka peke yangu katika shimo la mamba na kwemda kufa huku najiona.

"Bwana mdogo acha zarau sikiliza wito kataa maneno,unajua nakuitia nini ?
Kama kukuuwa ningekugonga na gari lakini kwa nini sijafanya bado nataka uinjoi maisha ya duniani
Uone raha na machungu yake.
Sasa wewe kijana unaona mimi nataka kukuuwa kwa faida gani labda pesa huna nyumba huna nikikuuwa nitachukua nini mimi kama siyo kukuonea"
Alijibu text yangu Mr David baada ya kumtumia na kumwambia siwezi kwenda sehemu anapo niita na badala yake nilielekea zangu sokoni.

"Hello kaka vipi upo salama?
Na kwa sasa upo wapi kwani kaka yangu nimekumisi nikuone tu.
Maana kila nikifunga macho kama nakuona wewe tu.
Ndiyo umetawala mboni za jicho langu.
Upo wapi kaka mbona uongei sasa jamani mimi nataka"
Aliongea Melisa bada yakunipigia simu, huku nikiwa nimekaa tu dukani kwangu huku nikitafakari ni vipi nitamuepuka Mr David tajiri wangu wa zamani aliyegeuka adui mkubwa wa maisha yangu.
"Unataka! unataka nini jamani na wewe , mbona kama sijakuelewa kitu unacho kitaka jaribu kunielezea nipo kwa ajili ya kukusikiliza wewe "
Niliongea mimi kwa kumjibu Melissa.
"Nataka kama jana ulivyokuwa kukiunyonya mdomo wangu .
Yani kila nikijaribu kufunga macho nakuona wewe please kaka nakuja uje ufanye kama jana niambie tu nije"
Aliongea Melissa.
"Ok sawa njoo na nguo zako baazi na siku chache zijazo tutaenda kuchukua vyombo vyako na kuja kuishi huku au unasemaje Melissa"
Nilimjibu Melissa.
"Waoooooooh kaka asanteeeeeee"
Alipiga kelele Melissa msichana aliyeonekana kukulia katika maadili yote ya kidini.
Na hata shule alizo soma zilikua ni za bei na maisha ya tabu hakuyazoea maana hata ongea yake tu ilionyesha.

"Hivi huyu Melissa mbona anataka kunitia majaribu huku ananita kaka huku anataka nimnyonye mate huu sini msala jamani au ndiyo utamu unamjia kwa kasi kutokana na hajawahi kufanya kitendo kile.
Na mimi nikimuacha na nimesha muonjesha itakuwa balaa bora niende nae kama anavyo taka ila katika sex inabidi nitulie kwanza isije ikawa kama hii hali aliyo nayo sasa"
Nilimuwazia sana Melissa na kuamini yeye ndiye mke bora katika maisha yangu na kujiahidi sinta mliza wala kumsali.

Melisa aliwasili nyumbani kweli majira ya saa moja jioni na wakati huo nilikua nipo dukani kutokana na Melissa kuifahamu nyumba ile vizuri ata nilipo wekafunguo za geti alipafahamu na funguo za ndani pia alipafahamu na kuingia ndani bila hata wasiwasi.
Mpaka mda mimi nafika usiku nilikuta kila kitu tayari chakula mezani maji ya kuoga huku nikikaribishwa na mabusu mix denda kwa wingi mpaka nilishindwa kuingia ndani kwanza.
Ikabidi nimalize kiu ya Melisa kwanza maana ni mtu aliyekuwa na joto kali la mapenzi na sikutaka kufanya naye kitu kile kwake kwa kuofia kelele wakati wa kufungua nyia zake kutokana na yeye kuwa bado bikra.
Niliamini sasa ndiyo wakati wake lakini bado pia nilisita na kumuuliza.

"Melisa kweli upo tayari kuvunja kiapo chako cha kuto kufanya mapenzi mpaka siku utakayo olewa au umegairi na upo tayari kukivunja kiapo chako"
Nilimuuliza Melissa wakati akiwa amenikumbatia sana mpaka nashindwa hata kupiga atuaya kuendelea mbele.
"Ndiyo kaka nipo tayari kuivunja na kufanya kwa ajili yako.
Nakupenda sana na nipo tayari kwa chochote utakacho kisema nakusikiliza"
Aliongea Melissa.

Hatimaye wiki ilikatika nikiwa bado sijafanya tendo la ngono na Melissa kwa leo mpaka atimize azima yake ili akamilishe ahadi yake aliyoipanga mpaka atakapo olewa ndipo mambo ya mapenzi atayaanza.
Na alipenda mwanaume atakaye muowa ndiye awe peke yake wa kwanza uona maungo yake na sehemu zake za siri.

"Jamani Kaka mbona uliniambia kuwa utaishi na mimi lakini mpaka leo hata kulala na mimi utaki zaidi ya kuunyonya mdomo wangu tu na mapenzi yote unsnionyesha lakini kushiriki na mimi katika tendo utaki au bado unapenda kuzidi kuwa kaka yangu.
Kumbuka nakupenda sana tena sana na natamani siku nikuite mume wangu, lakini pia kukuita kaka nitaendelea"
Aliongea Melissa baada ya kuona wiki zinakatika bila hata kufanya naye kitu huku akitamani kufanya mapenzi lakini sikutaka mimi.

"Melissa natambua ubanipenda kweli na mimi nakupenda kweli, lakini pia kumbuka una ahadi yako uliyoiweka kana naziri yako hivyo leo nikiwa wakwanza kukushawishi uivunje mimi nitahukumiwa na Mungu kwa kosa hili.
Tusubiri tuoane na baada ya hapo uwe umetimiza maleongo yako hata kama ulimushidi mzazi wako ahadi iwe imetimia"
Niliongea nikimuelekeza Melissa
"Zambi gani utakayo ipata wewe wakati mimi ndiyo nimekuambia au unipendi niambie nijue.
Kama nakusumbua niweke wazi"

ITAENDELEA........

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here