Yatazame hapa magoli ya Manchester City vs Tottenham 4-1 - KingSoka Media

Breaking

Saturday, 16 December 2017

Yatazame hapa magoli ya Manchester City vs Tottenham 4-1

Inachokifanya Manchester city kwa vilabu vikubwa kama Manchester united (2), Chelsea ikifungwa (1), liverpool ikifungwa (5) na
Arsenal ikifungwa (3)  na leo kiama kimemuangukia Tottenham ikikubali kipigo cha goal nne kwa moja

Hatimaye club hii yenye  maskani yake katika jiji la manchester ikiwa imefanikiwa kumaliza mzunguko wa kwanza bila kupoteza mchezo hata mmoja

hongera club ya Manchester city

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here